Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mkazi wa Kisukulu jijini Dar es Salaam, Iren Ibrahimu (22, amekufa kwa kujinyonga kwa kanga kwenye mti wa mjohoro.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Mary Nzuki, alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi asubuhi katika eneo la Kisukulu.

Nzuki alisema kuwa julai 27, mwaka huu Iren alikwenda kwenye duka la Olivar Laurent kununua pombe aina ya kiroba original paketi tatu kisha aliingia chumbani kwake na jioni alitoweka na hakurudi tena hadi alipokutwa amekufa kwa kujinyonga shambani.
Chanzo EATV

UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top