Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Imagine guys, kuna this guy mtanashati anasoma chuo kikuu cha Ruaha a.k.a RUCO huku Iringa. Alikuwa anasomea sheria mwaka wa nne.Taarifa za awali zinasema aliitiwa mwizi kumbe sio, akachomwa moto kama ujuavyo sheria mkononi kwa nchi hii..
Ameungua sana ila kwa bahati nzuri hajafariki, hivi ndivyo alivyo....
 kama huja like ukurasa wetu wa facebook kwa habari zaidi BONYEZA HAPA 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top