Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Dunia yote imeangazia mashindano ya fainali za kombe la dunia na kila mwenye muda na uwezo amefika Brazil kuhakikisha anaangalia kwa moja kwa moja mashindano hayo.
Mastaa kibao wametua Brazil kwa mitindo tofauti lakini muigizaji wa Titanic Leoonardo DiCaprio ametia fora baada ya kuingia nchini humo akiwa na meli kubwa ya kifahari aliyokodi kwa safari hiyo, meli hiyo inamilikiwa na mmiliki wa Manchester City, Mansour bin Zayed Al Nahyan.
Meli hiyo imetajwa kuwa na Swimming pool, chumba kikubwa cha mazoezi, jumba la sinema na ukumbi mkubwa wa mikutano ukiacha mbali vyumba vya kulalala na sehemu nyingine.
Muigizaji huyo amewachukua marafiki zake 21 na wanakula nao maisha katika safari hiyo huku wakishuhudia mechi kadhaa. 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top