Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
 
Jeneza likishushwa kaburini.

 
Waimbaji wakiwa wamebeba jeneza la mwimbaji mwenzao Deborah John Said.
 
Kaburi la Deborah.
 
Watoto wa marehemu wakiweka shada kaburini.
 
Picha ya marehemu.
 
Nyumbani kwa marehemu.  
Baadhi ya ndugu na jamaa wakilia na kuomboleza.  
Familia ya marehemu Deborah Said wakiwa na majonzi.  
Bango la kanisa alilokuwa akiongoza Mchungaji Deborah Said na mumewe Askofu John Said.  
Mmoja wa waombolezaji, Cosmas Chidumule,  akiimba kanisani.  
Jeneza likiwa kanisani kwa ajili ya ibada. Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Nchi ya Ahadi, Harris Kapiga, akiwa kanisani kwa ajili ya msiba huo.  
Rafiki mkubwa wa marehemu, Mama Wilbroad Slaa (kushoto) akilia kwa uchungu.  Kulia ni mume wa marehemu.  
Baadhi ya waimbaji na wasanii wakisalimiana. Mwimbaji Upendo Nkone akishiriki ibada ya mwimbaji mwenzake.  
Mtoto wa marehemu akiwa kazimia.  
Binti pekee wa marehemu akiwa kapumzika baada ya kuzimia.  
Umati wa watu ulifurika makaburini.

MWIMBAJI wa Injili, Deborah John Said, aliyefariki Juni 19 mwaka huu kwa tatizo la kansa, alizikwa jana, Juni 23, kwenye makaburi ya  -Jeshini jijini Dar es Salaam ambapo waombolezaji wengi walihudhuria mazishi hayo.Marehemu ameacha mume na watoto wanne.
(Na Gabriel Ng’osha/GPL)

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top