![]() |
| Kocha mkuu wa brazil scolari akishangilia na neymar baada ya kuwatupa nje chile |
Shujaa wa Brazil alikuwa ni kipa Julio Cesar aliyeokoa penalti mbili za Alexis Sanchez na Mauricio Pinilla wakati Gonzalo Jara aligongesha mwamba, huku Marcelo Diaz na Charles Aranguiz wakifunga . Penalti za Brazil zilifungwa na David Luiz, Marcelo na Neymar , wakati Hulk na Willian misses walikosa .
Brazil: Julio Cesar, Dani Alves , Thiago Silva, Luiz, Marcelo , Fernandinho, Gustavo, Hulk, Oscar, Neymar , Fred . Subs: Jefferson, Paulinho, Dante, Maxwell , Henrique, Ramires, Hernanes, Willian , Bernard, Jo, Maicon, Victor. Chile: Bravo , Mena, Isla, Silva , Alexis, Vidal, Vargas , Medel, Jara, Aranguiz , Diaz. Subs: Toselli , Albornoz, Carmona, Pinilla, Valdivia, Rojas, Orellana , Beausejour , Gutierrez, Fuenzalida, Paredes, Herrera. Referee: Howard Webb (England
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro











Post a Comment
Post a Comment