Vijana hao walikuwa wakipigana maeneo ya Bamaga-Sinza, Dar ambapo walijaza watu ambapo ilidaiwa kwamba mmojawapo ni fundi wa bajaji ambaye aliachiwa simu rehani na kumpa huyo kijana shilingi elfu mbili lakini baada ya kurudi na kutaka arudishiwe simu yake akakuta amebadilishiwa hali ambayo ilisababisha washikane mashati na kuanza kupigana huku wakijaza watu kibao.
<<<<Bofya hapa ulike page yetu>>>>
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment