Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiongozana na Balozi wa Tanzania, nchini Japan, Salome Sijaona, mara
baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Aneda, nchini Japan kwa
ajili ya kuanza ziara ya siku sita. Kulia ni mke wa makamu, Mama Asha
Bilal.
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwasili kwenye Uwanja wa ndege wa Aneda, kwa ajili ya kuanza ziara ya
siku sita. Kushoto kwake ni aliyekuwa Balozi wa Japan nchini Tanzania,
Masaki Okada, (nyuma yao) ni Mke wa Makamu, Mama Asha Bilal na Balozi wa
Tanzania nchini Japan, Salome Sijaona. Picha na OMR
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro









Post a Comment
Post a Comment