Miongoni
mwa mabalozi wapya kutoka mtandao wa Airtel ni pamoja na Ney wa
mitego,stori ambayo imemfikia Soudy Brown ni kwamba mpenzi wake ametaka
kugawana vitu na Ney wa Mitego ambavyo amevipata wakiwa pamoja,maongezi
ya Ney wa Mitego alipoulizwa na Soudy Brown juu ya tuhuma hizi kama ni
za kweli hiki ndicho alichojibu.
104.1 Clouds Fm inasikika ukiwa Bukoba.
Bonyeza play kumsikiliza Ney hapa.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment