Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

List Ya washiriki wa tuzo za Kora mwaka 2014
imetoka kwa wiki hii na imekuwa mbaya zaidi
kwa watanzania kwani tegemeo letu au mtu
ambaye anatuwakilisha katika tuzo hizo
ameporomoka kutoka nafasi ya 2 hadi nafasi ya 8.
Unachotakiwa kukufanya kuzidi kuipaisha bendera
ya Tz kwa kumpigia kura za kutosha Diamond
Platnumz, ni kwenda kwenye ukurasa wa Kora
Awards kisha katika picha utayoikuta andika jina
la Diamond Platnumz ili kufanikisha apande zaidi
na zaidi.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top