Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

              
Hans Van Der Pluijm akiwa na Katibu Mkuu wa Yanga SC Bw Beno Njovu na Afisa Habari Baraka Kizuguto wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika jioni ya leo(jana) makao makuu ya klabu ya Yanga SC
Cocktail Party ya Kumuaga Kocha Hans Der Pluijm iliyofanyika jana kwenye Ukumbi wa Mikutano uliopo makao makuu ya klabu. Kocha Pluijm alikabiziwa kadi ya uanachama wa timu ya Yanga pia katika hafla hiyo

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top