Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Kwa mujibu wa taarifa zilizotufikia ni kwamba basi la abiria la WIBONELA EXPRESS lililokuwa linatoka jijini Dar es salaam kwenda wilayani Kahama mkoani Shinyanga limepinduka jioni hii huko Mkoani Singida.

Taarifa zinasema hakuna mtu aliyepoteza maisha wala kujeruhiwa vibaya katika ajali hiyo.
Endelea kufatilia farajimfinanga.com na muda si mrefu tutakupa taarifa zaidi juu ya ajli hiyo.
PICHA NA MODESTER SEMBE 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top