Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Taarifa Zilizotufikia Mchana huu ni Kwamba Mchezaji Kinda wa Dar Young Africa "YANGA" Frank Domayo amesaini Mkataba wa Kuichezea Azam msimu Ujao(Haijajulikana ni Mkataba wa Miaka Mingapi).Ikumbukwe Jana Azam walifanikiwa Kumsajili Mchezaji wa Yanga wa Kimataifa kavumbangu kwa Mkataba wa Miaka 2.
Taarifa zaidi Kukujia hivi Punde

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top