Baada ya kuwa kimya katika akaunti yake
ya instagram, Penny ambaye ni
mtangazaji wa kituo cha DTV kilichopo
Dar, amerudi kwa kasi katika mtandao
huo baada ya kuachia picha yenye mitego
ikionesha kitovu chake, Sasa sijui ndio
kutaka Tension kwa Watu au ndio nini
Hii. Tazama hapo chini picha hiyo.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment