KULIA ni mwenyekiti wa kijiji cha
Vikindu jijini Dar akimtazama kijana
huyo alivyoharibiwa sura kufuatia kipigo
kikali kutoka kwa wananchi wenye
hasira kali,
Kijana huyo aliyedaiwa kuwa mwizi sugu
wakazi wa Vikindu mkabala na kijiji cha
Mkuranga, Baada ya kipigo walimpeleka
katika kituo kidogo cha polisi Vikindu
lakini kwa mujibu wa chanzo cha habari
ni kwamba Polisi wamkataa kutokana
hali yake ilivyokuwa mbaya.
TAZAMA PICHA HAPA CHINI
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment