modo
maarufu Bongo, Jacqueline Fitzpatrick ‘Jack Patrick’ amepandishwa
kortini kwa mara ya kwanza huko Macau nchini China, Aprili 10, mwaka huu
kwa kukutwa na madawa ya kulevya tumboni aina ya heroin kete 57 au kilo
1.1 yakiwa na thamani ya zaidi ya shilingi milioni 223 huku ishu kubwa
kwa muda wote aliokuwa mahakamani ikiwa ni kuangua kilio kila wakati.
Kete zinazosadikiwa kukutwa na modo maarufu Bongo, Jacqueline Fitzpatrick ‘Jack Patrick’ akiwa amezimeza.
<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU PLEASE>>>>
<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU PLEASE>>>>
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment