Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kiungo Xabi Alonzo amekubali kuongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea klabu ya Real Madrid ya nchini Hispania.

kwenye mkataba huo Alonzo ameongezewa kiasi cha paundi milioni 1.6 kwenye mshahara wake mpya na kufikia paundi milioni 4.95,hapo awali alikuwa analipwa kiasi cha paundi milioni 3.3 kwa mwaka.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top