Badgalriri kama anavyojiita kwenye instagram ameweka wazi hisia zake juu ya huyu jamaa ambaye ni mchezaji wa American football.
Siku ya jumatatu alipost picha ya mchezaji wa Philadelphia Eagles “Mychal Kendricks” na kuandika “Is it Monday?…coz chhh..#MCM
MCM maana yake ni Man Crush Monday na mitandao mingi huko Marekani
imeandika huenda Rihanna akaanzisha uhusiano na mchezaji huyu kutokana
na kuwa na historia ya ku-date na mchezaji mwingine American football.
Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi
Post a Comment
Post a Comment