MTANGAZAJI
wa Kituo cha Televisheni cha DTV, Peniel Mungilwa ambaye ni zilipendwa
wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnum’ amesema
katika maisha yake haitatokea akamdharau kwa kumkashifu hata kama si
wake tena.
Penny akiwa na Diamond enzi za penzi lao.
“Naapa kwa Mungu wangu katika maisha yangu haitatokea kamwe nikamdharau Diamond, haijalishi yupo na nani kwa sasa, thamani yake kwangu itabaki palepale hamuwezi jua namheshimu kiasi gani yule mtu,” alisema Penny.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment