Watu sita wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na machimbo ya moram hapa wilayani Karatu.
Machimbo hayo yako karibu na shule ya Sekondari Mlimani. Hali ni tete ni majonzi kila kona.
Habari zaidi zinasema kuwa huenda kuna watu zaidi ndani ya machimbo hayo na mkurugenzi wa Halmashauri ameagiza grader kwaajili ya kuendelea kufukua zaidi.
HABARI NA PICHA TUTAWALETEA HIVI PUNDE....STAY TUNNED!!!!
R.I.P. Vijana 6 wa kitanzania waliofariki katika kutafuta riziki.
SOURCE: RADIO ONE
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment