Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
STAA wa filamu Bongo, Yvone Cherry ‘Monalisa’ amesema anaogopa kuweka wazi mambo yake kwa kuhofia kupigwa juju hivyo anaishi kwa siri..

Akipiga stori na paparazi wetu, Monalisa alisema amejifunza maisha ya usiri na ndiyo maana huwa haaniki hata tarehe, mwezi au mwaka wa kuzaliwa kwani watu wabaya hutumia nafasi hiyo 


kukuangamiza“Asikudanganye mtu ukishaanika tu hivyo vitu mtu akajua na majina yako yote kuna nini tena hapo zaidi ya kukufanyia ndumba uharibikiwe anavyojisikia yeye, huwa inaniwia vigumu sana kuweka hadharani vitu vyangu,” alisema Monalisa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top