Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Adam Mchovu, B12 na Dj Fetty
Ni wiki chache sasa tangu uvumi na tetesi zilizozagaa kila mahali kuwa watangazaji wa clouds Fm "B12, Adam Mchomvu, Dj Fetty na Diva" kuwa wamefukuzwa kazi na uongozi wa radio hiyo kutokana na utovu wa nidhamu.
 
Lakini leo katika kipindi cha XXL watangazaji hawa wamesikika tena baada ya muda mrefu kutokuwa hewani, kitu kilicho pelekea tetesi hizo kuaminika kuwa ni kweli.

kupitia mtandao wa twitter B Dozen(B12) amendika maneno haya  

"WE BACK AGAIN In BIZNEZ..Double XL Kwa Hewa with B Dozen , fetty,Baba Jonii,Dj Steve B Mpaka kumi za jioni, Along side DeeAndy n Soudy Brown"

Dj Fetty naye ameandika "I think everyone should experience defeat at least once during their career. You learn a lot from it."  

na kumalizia katika tweet nyingine akisema "expect what u have missed for a while now....my voice..xxl baby".
Credit: BONGO TODAY WEBSITE

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top