Mbunge wa kigoma kaskazini Mh Zitto Zuberi kabwe akiwa
kwenye gari akiwapungia mkono wananchi waliokuwa pembezoni mwa barabara ya
kigoma ujiji maeneo ya hospital ya Rufaa Maweni mkoani kigoma alipowasili
asubuhi ya leo hapa mkoani kigoma kwa ziara ya siku 5 .msafara huo kielekea kwenye jimbo lake la kigoma kaskazini
Wanachama na wapenzi wa chadema wakimsindikiza mh Zitto kabwe kwa mapango mbalimbali
hili ndio gari lililobeba spika za matangazo na wakiwa katika msafara wa kuelekea mwandiga wapenzi na wanachama wa chadema walikuwa wengi sana hadi kusababisha foleni na magari kusimama kusubiria wapite huku muhesimiwa zitto kabwe akiwa kwenye gari akiwapungia watu waliojitokeza barabarani
Madereva bodaboda wahakuwa nyumba kwenye msafara huo wa kumpokea mbunge zitto kabwe
watu walitembea kilometa zaidi ya 6 kutoka Airport hadi Mwandiga kwenye ngome kuu ya zitto kwa ajili ya kuwahutubia wananchi na wapenzi wa chama cha chadema mkoani kigoma.
Mabango nayo hayakuwa nyuma kwenye msafara huo wamapokezi ya zitto kabwe leo
Walinzi wa muheshmiwa zitto kabwe wakisindikiza gari kwa
karibu kwa ajili ya kumpa ulinzi
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment