Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Yaya Toure akikabidhiwa tuzo yake ya Mwanasoka Bora wa BBC 2013.
Kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Ivory Coast, Yaya Toure ameshinda tuzo ya mchezaji bora barani Afrika ya BBC kwa mwaka 2013!

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30, aliwashinda wachezaji wenzake Pierre-Emerick Aubameyang, Victor Moses, John Mikel Obi na Jonathan Pitroipa na kuibuka mshindi wa tuzo hiyo.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top