Jeshi la Polisi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Kilimanjaro (Kia), linawashikilia wanawake wawili ambao ni
wafanyabiashara wa kigeni kwa tuhuma za kukutwa wakisafirisha kilo 12.7
za dawa za kulevya maarufu kama 'unga'.
Hilo ni tukio la pili katika muda usiozidi siku saba kwa raia wa kigeni kukamatwa na dawa hizo katika uwanja huo, ikiwa ni wiki mbili tangu Waziri wa Uchukuzi, Dk.
Harrison Mwakyembe, atishie kuwafukuza kazi maofisa wa idara za usalama watakaobainika kujihusisha na biashara hiyo kupitishwa katika uwanja huo.
Hilo ni tukio la pili katika muda usiozidi siku saba kwa raia wa kigeni kukamatwa na dawa hizo katika uwanja huo, ikiwa ni wiki mbili tangu Waziri wa Uchukuzi, Dk.
Harrison Mwakyembe, atishie kuwafukuza kazi maofisa wa idara za usalama watakaobainika kujihusisha na biashara hiyo kupitishwa katika uwanja huo.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment