| daaah Ms Jackie Cliff sijui nani atawafundisha fashion sasa its not easy lets pray for her |
![]() |
| mzigo uliomponza |
![]() |
| ndani ya ndala jamani tafuteni hela zenu kidogo kidogo endeleeni kutaka ku maintain status bongo yatawakuta tu |
![]() |
| Ze Chinese no kutakaring ze muchezo Easy come, Easy Go |
![]() |
| dada aliesafiri na Jackie inasemekana ni raia kutoka Rwanda |
![]() |
| our own Boss-Lady in Tanzania |
Mwanamitindo na video vixen maarufu, Jackie Cliff mwenye umri wa miaka 28 amekamatwa na kilo 1.1 za dawa za kulevya aina ya heroin huko Macao.
Jackie,
ambaye pia aliwahi kushiriki mashindano ya umiss na kushika nafasi ya
juu alikutwa na dawa hizo tumboni mwake baada ya kushtukiwa airport na
kufanyiwa X-ray.
Baada
ya uchunguzi alikutwa na jumla ya vidonge 66 vyenye thamani ya dola za
Kimarekani 137,720.Mrembo huyo ambaye hivi karibuni ali-hit kama video
vixen katika video ya Nataka Kulewa ya Diamond Platinums, alikuwa
akisafiri kutoka Thailand akielekea Macao Jumanne iliyopita.
Aliwaambia polisi kuwa alikuwa anaelekea Guangzhou ambao ni mji wa jimbo la Guangdong huko China.
Kwa mujibu wa sheria za huko, adhabu ya kosa la kusafirisha unga ni kifo.
JOKE
so, who will be our new boss lady in Tanzania??
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro












Post a Comment
Post a Comment