Timu ya arsenal leo imejikuta ikipigwa kichapo cha mbwa
mwizi kutoka kwa timu ya manchester city katika uwanja wa etihad jioni ya leo ,
Timu ya man city ilionekana tangu mwanzo kuwa inahitaji
ushindi katika mechi ya leo iliwachukua dakika 14 aguero alipoipatia timu yake
goli la kwanza bada ya samir nasri kuiga kona na aguero bila ajizi akautia
mpira huo nyavuni. Dakika ya 31 THEO
WALCOTT akaipatia goli la kusawazisha Arsenal lakini goli hilo lilidumu kwa
dakika 8 tu msambuliaji wa man city raia wa Spain Negredo dakika 39 akaipatia
city goli la pili hadi mapumzika Man city 2 Arseanl 1.
Kipidi cha pili kimeanza mnamo daika ya 50 kiungo mkambaji
wa Fernandinho akaipatia man city goli la 3 na la 4 katika dakika ya 58 ya
mchezo huo huku ngome ya Arsenal ikionekana imepwaya bada ya beki wake wa
kutumainiwa kutoka bada ya kuumia katika dakka 42 koscielny na nafasi yake
kuingia Vermaelen .
Ilikuwa ni dakika ya 63 walcott aliipatia Arsenal goli la
pili goli hilo lilikaa kwa dakika 3 tu David silv akaongeza goli la 5 katika
dakika 66 , ikiwa imebaki dakika 4 za muamuzi
beki wa Arenal Per meetsacker akafunga goli la 3 ,Nae Yaya Toure alikamilisha
karamu ya magoli katika dakika 90 +4 kwa mkwanju wa penaty bada ya goli kipa wa
Arsenal kumuangusha mchezaji wa man city kwenye eneo la hatari.
Man city wamebanda kwenye msimamo wa ligi kuu hadi nafasi ya
tatu nyuma ya Arsenal yenye point 35 na Chelsea yenye point 33 baada ya
kushinda leo .
Hadi dk 90 Manchester city 6 vs Arsenal 3.
Matokeo mengine ya mechi za leo CARDIFF 1- 0 WEST BROM,EVERTON 4-1
FULHAM,NEWCASTEL 1-1 SOUTHAMPTON, CHELSEA 2-1 C PALACE, WEST HAM 0-0 SUNDALAND
Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi
Post a Comment
Post a Comment