Mwana muziki wa Bongo freva toka mkoani Morogoro mwana dada Dayna Nyange, amekanusha kuhusishwa na picha
zilizomuonesha akifanya uchafu ufukweni akiwa na njemba nusu uchi.
Dayna kupitia page yake ya facebook, ameweka
wazi kwamba sivyo kama ilivyoandikwa na baadhi ya mitandao kwamba
alfumwa badala yake ilikuwa ni sehemu ya location ya video yake ya wimbo
mpya wa mimi na wewe
zilizomuonesha akifanya uchafu ufukweni akiwa na njemba nusu uchi.


"Jamani izi ni moja ya Picha....
Tulipokuwa location tuna shoot wimbo wangu wa "Mimi Na wewe" Na sivyo
kama ilivyo semekana. Na baadhi ya blogs kwamba nimefumwa beach
nikijiachia sijui nini Na nani kha!
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro






