Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



Toyota Coaster baada ya kugongana uso kwa uso na Toyota Land Cruiser eneo la Sinza Kwa Remmy.

 Gari iliyosababisha ajali
Dereva wa gari lililosababisha ajali (mwenye kofia) akinyoosha mkono kuonesha jambo.
Mashuhuda wakiwa eneo la ajali.



Ajali ilivyokuwa.
Gari aina Toyota Coaster iliyobeba wanafunzi wa chekechea asubuhi hii imegongana uso kwa uso na Toyota Land Cruiser kwenye barabara ya Shekilango eneo la Sinza Kwa Remmy jijini Dar, ambapo chanzo cha ajali hiyo kinadaiwa kuwa gari dogo aina ya Toyota Crester iliyokuwa ikirudi nyuma ili ichomoke kwenye maegesho.
(PICHA : RICHARD BUKOS GPL)

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top