Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
 
Nakomaa na jiji ndiyo nyimbo yake inayofanya vizuri katika radio station pamoja television hapa nchini.Muite Shilole Kiuno ambae pia ni staa wa tasnia ya bongo movie.

Shilole ambae aliulizwa na Team tizniz juu ya Suma Mnazaret kuimba katika nyimbo yake ya Umechelewa aliyoshirikiana ana Richard na katika wimbo huo suma alisema"Eti umeenda marekani soon utafanya nyimbo mpya na Jlo kwa muziki gani wewe umechelewa"Team tizniz ikamuuliza Shilole  anazungumziaje hili?

Shilole alisema"Kijana mdogo huyu anatafuta umaarufu kupitia watu maarufu kama sisi.Hivyo sina time ya kumjibu chochote aendelee kujipanga kivingine.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top