Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Ni simanzi kubwa tena na mfululizo wa matukio ya ujambazi nchini. Jana jioni Ramadhani Gize mfanyakazi wa TBC alipigwa risasi na watu wanaosadikika ni majambazi akiwa kazini na kukutwa na mauti hapo hapo. Majambazi hao wanasadikika walikuwa wanne walipovamia katika maeneo ya Ubungo Maziwa.
Poleni wafanyakazi wa TBC kwa msiba huu na familia ya marehemu.
Chanzo Tbc News

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top