Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



Siku ya jana tulifanya zoezi la kuwafanyia interview baadhi ya watu waliotuma maombi yao kwa mujibu wa ,tangazo la kazi nilillolitoa juzi,mwitikio wa watu ulikuwa mkubwa,watu waliotuma email zao pamoja simu,kiasi ilituwia vigumu 
kuwataka wote waje kwenye interview,ilitubidi tuchague baadhi ya watu ambao tulihisi wanaweza kukidhi sifa tulizozihitaji ingawa nao pia tulipata changamoto ya wengi wao kuja pasipo kuzingatia maelekezo na maagizo ya tangazo lilivyotaka,hivyo jana nikishilikiana na wataalamu wa hizo sekta tulisaili na mwisho wa siku tutachukua wale wenye viwango tunavyovihitaji na kuungana na team ya WCB-WASAFI,.....
Ahsanteni sana.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top