Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Baada  ya  shambulizi  la  Al  shabaab  nchini  Kenya  lililoongozwa  na  Mwanamke Samantha Lethwaite  na  kuua  wakenya  69,wananchi  wa  nchi  hiyo  wameamua  kuhamishia  hasira  zao  mtandaoni  kwa  "kumpika"  huyu  dada  akiwa  katika  pozi  la  kimahaba...

Katika  picha  hizo  zilizoanza  kusambaa  juzi, mdada  huyo  anaoneka  akifanyishwa  mapenzi  porini  huku  baadhi  ya  picha  zikimuonesha  akiwa  katika  pozi  la  ukahaba  huku  akiwa ameshika  bunduki...

Kwa  nini  wakenya  wameamua  kufanya  hivyo?:
Maamuzi  hayo  yamechukuliwa  ili  kumalizia  hasira  zao  dhidi  ya  mwanamke  huyu  ambaye  ni  gaidi  wa  kimataifa  anayesakwa  kila  pembe  ya  dunia. 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top