Leo siku ya pili October 2013 zimetokea vurugu huko 87.8 Mbeya baada
ya wafanyabiashara kugoma kununua mashine za TRA zenye thamani ya Tsh
800,000 ambapo baadae walitawanywa na mabomu ya machozi kutoka kwa
Polisi… hizi ni baadhi ya picha za tukio lenyewe Picha zote hizi na mbeyayetu.blogspot.com
Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi
Post a Comment
Post a Comment