
STAA wa filamu za Kibongo Wema Sepetu amefunguka kuwa katika maisha yake aliwahi kufanyiwa mambo ya ushirikina(kurogwa) bila kufafanua alirogwa na nani na alipatwa na nini au ugonjwa gani.
Wema
amefunguka kupitia kipindi chake cha In My Shoes kinachorushwa kila
jumatano kupitia East African TV ambapo aliulizwa kama kama anaamini
ushirikina upon a kama alishawahi kurogwa ambapo alijibu kuwa anaamini
ushrikina upo ila haupi nafasi katika maisha yake kwani anamuamini
Mungu.
‘Yaah!Nilishawahi kurogwa na naamini ushirikina upo ila siupi nafasi katika maisha yangu namuamini Mungu tu,’alisema Wema
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment