Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

ILE ndoto yao ya muda mrefu itakuwa sasa imetimia baada ya waliokuwa washiriki wa shindano la BBA'The Chase'2013,Feza Kessy kutoka Bongo na mchumba wake Oneil wa Botswana kunaswa hivi karibuni wakinunua pete ya uchumba katika duka moja la vito nchini Botswana.

Feza amerudi tena nchini humo baada ya kurejea Bongo na kukaa kwa siku kadhaa picha mbalimbali amepiga akiwa na mashabiki wao.…
uswaziblog

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top