Vijana 11 wamekamatwa wakiwa wanafanya mazoezi ndani ya msitu wa Makolionga mkoani Mtwara, huku wakiwa na CD 25 zenye mafunzo mbalimbali toka kundi la kigaidi la Al Qaeda na Al Shaabab.
Pia wamekutwa na zana tofauti za hatari pamoja na vyakula vya aina mbalimbali
SOURCE: Breaking News RADIO 1 STEREO na ITV
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment