Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi amefunguka ikiwa ni siku chache zimepita baada ya sakata la kutolewa nje ya bunge msobemsobe baada ya jaribio la kuzuia askari wa Bunge kutotekeleza amri ya Naibu Spika Job Ndugai ya kumtoa nje Kiongozi wa Kambi rasmi Bungeni Mh. Freeman Mbowe

Kupitia ukurasa wake wa facebook Sugu amefunguka mipango yake baada ya sakata hilo.. "Jmosi hii nitakuwa home mbeya, nitawahutubia watu wangu ambao kimsingi ndio walionituma ili niwaelezee udwanzi wa ndugai na kilichotokea..."

pia unaweza kumuadd kwenye ukurasa wake wa facebook BOFYA HAPA

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top