Gavana wa kenya aitwae Kidero
amezidisha mipaka kwa kumpiga kofi mwanamke aliyeenda kwenye ofisini
kwake na kuanza kumuuliza maswali mengi kuhusu mishahara ambayo
haijalipwa kwa baadhi ya wafanyakazi wa serikali.
ANGALIA VIDEO HAPA CHINI
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment