Kundi la makampuni ya MeTL imeshinda kesi dhidi ya matumizi ya haki miliki zake dhidi ya makampuni ya Bakhressa. Bakresa sasa itatakiwa kuilipa METL Group kiasi cha shilingi milioni 732 pamoja na riba.
taarifa hiyo iliwekwa hatharani katika mtandao wa Twitter na mmiliki na
Mkurugenzi wa makampuni ya Mohammed Enterprises (MeTL), Mohammed Dewji
MO (pichani chini) muda si mrefu kama msisitizo wa Twitt nyingine
iliyowekwa na kampnuni hiyo jana.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment