Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Kundi la makampuni ya MeTL imeshinda kesi dhidi ya matumizi ya haki miliki zake dhidi ya makampuni ya Bakhressa. Bakresa sasa itatakiwa kuilipa METL Group kiasi cha shilingi milioni 732 pamoja na riba.

taarifa hiyo iliwekwa hatharani katika mtandao wa Twitter na mmiliki na Mkurugenzi wa makampuni ya Mohammed Enterprises (MeTL), Mohammed Dewji MO (pichani chini) muda si mrefu kama msisitizo wa Twitt nyingine iliyowekwa na kampnuni hiyo jana.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top