Mpenzi wa mkali katika tasnia ya Bongofleva, Penny Mwingila ‘Penny’
amekiri kuwa mpenzi wake huyo ni sukari ya warembo, hivyo hana wasiwasi
naye.
“Sishtuki na chochote katika video ile ya Baby wangu kwani natambua kuwa mpenzi wangu ni sukari ya warembo, ila namshauri atafute madansa wa kike wa hapa nchini afanye nao kazi kama wale Wasouth wanavyoonekana katika video yake mpya,” alisema Penny.
Video hiyo ya Diamond imerekodiwa Afrika Kusini ambapo kwa mujibu wake wa Diamond ametumia shilingi milioni 48 kuandaa kazi hiyo.
Penny Mwingila ‘Penny’ akipozi na Diamond.
Akizungumza na Risasi Mchanganyiko katika ukumbi wa Kivukoni uliopo
ndani ya Hoteli ya Serena muda mara baada ya kumalizika kuoneshwa kwa
video mpya ya Diamond inayokwenda kwa jina la My number One, Penny
alisema:“Sishtuki na chochote katika video ile ya Baby wangu kwani natambua kuwa mpenzi wangu ni sukari ya warembo, ila namshauri atafute madansa wa kike wa hapa nchini afanye nao kazi kama wale Wasouth wanavyoonekana katika video yake mpya,” alisema Penny.
Video hiyo ya Diamond imerekodiwa Afrika Kusini ambapo kwa mujibu wake wa Diamond ametumia shilingi milioni 48 kuandaa kazi hiyo.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment