Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
                            Blessing baada ya kuharibiwa sura 
 Binti mmoja Blessing Ikhumuhi hatasau maishani 
 mwake siku aliyoogeshwa tindikali usoni na mpenzi

 wake baada ya kumwambia uhusiano wao uishe.Cyr

ill Okusan kijana wa miaka 22 ametajwa kama

 muhusika wa unyama huu,Tayari ameshafunguliwa

 mashtaka kwa kosa hili.

Nadhani ni wivu tu wa kimapenzi na roho mbaya ndiyo iliyosababissha yote haya,jamaa akaona wacha nimuharibu reception tuone baada ya mimi kama kuna mtu atakubinyia hata kijicho..mbaya sana! Kina dada kuweni makini na ma-boyfriend wa kukutana nao mitaani bila hata kujua background na tabia ya mtu.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top