Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tanzania Entertainment News,Politics News ,Celebrity Gossip and Live Updates
Hata hivyo tofauti na video zake za awali, hii mpya amekata kisu
kirefu zaidi kwa kushoot na miongoni mwa gari yenye thamani zaidi
duniani, Ferrari. Cha kufurahisha zaidi ni kuwa gari hiyo
inayotengenezwa na Waitaliano, imewekewa namba za gari binafsi kwa
kuandikwa ‘Platnumz’ na Wasafi’.
Mafundi wa Afrika Kusini wakihakikisha plate ya Wasafi imekaa vizuri
Inaonekana hii, Diamond Platnumz aka Coca Boy amejiandaa kwenda international zaidi.
Post a Comment
Post a Comment