Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Wasanii wa P-Square kupitia account ya Instagram ya peter okoye, wameweka picha ambazo zinawaonyesha wakiwa katika Club ya Ma-Strippers (Wanawake Wanaocheza Uchi) katika kile kinachoaminika kuwa moja ya njia za kujipooza na
kujiburudisha baada ya kazi nzito ya kuwatumbuiza watu huko Marekani.

Kutoka kwa picha hizi ambazo zinawaonyesha wakizitumbua pesa walizozitolea jasho kihalali, kumezuka maoni mengi na mitazamo tofauti kutoka kwa mashabiki wa wasanii hawa... ambapo pia wewe kama mmoja wao unaweza kuona hapa na kutoa mtazamo wako.


http://distilleryimage10.ak.instagram.com/6494af420fad11e39e7122000aaa0fd8_7.jpg

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top