Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
dubaiMwanamke mmoja ambaye ametambulika kuwa ni mtanzania amekamatwa kwenye airport ya Dubai akiwa na dawa za kulevya aina ya Cocaine na alikuwa anatoka Brazil kuja Tanzania ambapo baada ya kuhojiwa na Polisi wa Dubai, kasema rafiki wa mme wake ndio alimuomba ampelekee mizigo yake nyumbani Tanzania.
Dubai 
Huyu mwanamke amesema alikuwa anatoka kwenye mapumziko ya miezi mitatu ambayo story kamili BOFYA HAPA

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top