Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
 Kwa mwaka huu FIESTA 2013 itafika kwenye miji 14, huu ni mwaka wa 12 tangu tamasha kubwa la Fiesta lianze ambapo kwa mwaka huu mkoa wa Kigoma ndio utafungua pazia la tamasha la FIESTA 2013,,,, Sebastian Maganga ni mwenyekiti wa kamati kuu ya FIESTA 2013 hapa akifafanua zaidi..


Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top