Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Hatimaye Mshiriki wetu aliyebakia ndani ya jumba la Big Brother Feza amefanikiwa kubaki ndani ya jumba hilo baada ya kuwekwa kwenye kikaango cha kutolewa leo....Badala yake ametolewa mpenzi wake Oneal...kitendo ambacho waafrica wengi wamekifurahia kwasababu alikuwa anamfanya FEZA kutokuwa yeye ...Alimcontrol sana FEZA so tunategemea kumuona FEZA yule wa zamani,,

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top