Hatimaye Mshiriki wetu aliyebakia ndani ya jumba la Big Brother Feza amefanikiwa kubaki ndani ya jumba hilo baada ya kuwekwa kwenye kikaango cha kutolewa leo....Badala yake ametolewa mpenzi wake Oneal...kitendo ambacho waafrica wengi wamekifurahia kwasababu alikuwa anamfanya FEZA kutokuwa yeye ...Alimcontrol sana FEZA so tunategemea kumuona FEZA yule wa zamani,,
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment