Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Rais wa Marekani Barack Obama mchana wa leo amewasili nchini tayari kwa ziara yake ya leo na kesho jijini Dar es Salaam. Rais huyo aliyeongozana na mkewe Michelle na wanae wa kike wawili Malia na Sasha amepokelewa na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top