Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

clip_image001Rais Barack Obama wa Nchini Marekani na Mkewe Michelle Obama wakiwa sambamba na watoto wao, wakiwasili mchana huu kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam mchana huu kwa ziara ya siku mbili hapa nchini.clip_image001[6]Ndege ya Raisi wa Marekani Ikiwa Kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere, mchana huu.clip_image001[8]Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mgeni wake wa Marekani, Barack Obama aliewasili nchini Mchana huu kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.clip_image001[10]Rais Barack Obama akikagua Gwaride maalum aliloandaliwa akiongozwa na Mkuu wa majeshi ya Ulinzi, Jenelari Davies Mwamunyange.clip_image001[12]Rais barack Obama akiagana na mama Salma Kikwete Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere.clip_image001[14]Msafara wa Viaongozi ukiondoka Uwanja wa Ndege.
Picha zote kwa Hisani ya TBC1
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top