Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


.
Jana usiku timu ya Barcelona walikula kichapo cha bao 2-0 baada ya kufungwa na Bayern Munich, Barca iliingia dimbani ikiwa na nyota wake wote kasoro wale walioshiriki kombe la mabara, Huku Messi akiwa nahodha wao, Magoli yalifungwa na Mandzukic pamoja Na Lahm.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top