Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Jana usiku Diva wa Clouds aliwakutanisha wanamuziki wawili Snura na Shilole ambao kwa sasa ni kama wanashindana kwenye staili ya Muziki wanao Imba ...Snura kwa sasa anatamba na wimbo wake wa Majanga wakati shilole ametoa wimbo wake unaitwa Nakomaa na Jiji unaotamba kwenye Redio Mbali Mbali...Sasa Katika Kipindi hicho Diva Alijaribu kuwachimba kama wana Beef kati yao lakini walikataaa....
Je wewe unavyoona kati ya SNURA NA SHILOLE nani Mkali?

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top